
kwa maelezo yake Daniel anasema kua amekuja dar.kutafuta maisha.maana maisha Sumbawanga ni magum sana
KIMCHUPA ON THE BEAT imekutana nae huyu kijana Daniel leo Asubuhi na tulimkuta akiwa na godoro lake na vibeg viwili ndipo ametumbia kua anaomba msaada kwa yeyote atakae kua na kazi yeyote ile na atafanya ili mladi mkono upate kuingia kinywani
Kwa maelezo ya mwisho anaomba kua atakae kua na kazi yeyote ile
au Msaada wowote
apige simu namba
+255768682597
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni