Kimchupa MediaTz

NYUMBANI KWANZA

HEADLINE


https://a.msn.com/54/en-us/ct-6.7963,39.2847?weadegreetype=F&ocid=msedgntp

Ijumaa, 24 Julai 2015

Picha: Huu ndio ulinzi wa Rais wa Marekani Barack Obama Baada ya kutua nchin Kenya Hii Leo

Obama  (kushoto) Kenyatta(katikati) Michelle Obama (kulia) Baada ya kupokelewa na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta (picha na ikulu kenya)
Ulinzi madhubutu kwenye kari alilo pokelewa Rais Obama
Nahuu ndio Ulinzi wa Majini kwajili yake OBAMA
Nahii ndio ndege alio shuka nayo OBAMA kwenye Ardhi ya Kenya Ndege hizi Ndio zile ukisikia Air Force One Ndio alio tua nayo Obama . 
Baada ya kumaliza ziala yake nchin kenya anatarajia Kuelekea makao makuu ya Umoja wa Aftica Adsia Baba maana inavyo semekana hajawahi kwenda huko Makao Makuu Ya Africa.

©2015
abellykelvin4@gmail.com

Hakuna maoni: