Kimchupa MediaTz

NYUMBANI KWANZA

HEADLINE


https://a.msn.com/54/en-us/ct-6.7963,39.2847?weadegreetype=F&ocid=msedgntp

Jumanne, 14 Julai 2015

News: Jeshi la Police Nchini La Tandika MILIONI 50 TSh.

Hii ni baada siku chache tu kufanyika kwa uvamizi katika kituo cha Police cha STAKI SHARI TABATA Na kufanya uporaji wa Bunduki na Kuuwawa kwa police kadhana na raia kadha kituon apo
Jeshi la police nchin limeamua kutoa donge NONO la shilingi MILIONI 50 kwa atakaye jua au kufahamu mahali au eneo walipo Majambazi hao
 
CHANGAMKIA FULSA HIYO NI KIASI CHA PESA NYINGI ZILIZO TANGAZWA INGIA MZIGONI KUSAKA WALIFU ILI UJIPATIE MKWANJA WA MAANA.

Hakuna maoni: