Kimchupa MediaTz

NYUMBANI KWANZA

HEADLINE


https://a.msn.com/54/en-us/ct-6.7963,39.2847?weadegreetype=F&ocid=msedgntp

Jumatatu, 11 Mei 2015

Isome hii upate kujua kisa na Chanzo cha Kujinyonga kwa mkaz Mmoja alie Tambulika kwa Jina moja la Idd imetokea huko Mkamba Kilombero Mkoani Morogoro

Chanzo chetu cha habari imepata kubain kua huyu marehem IDD alikua ni wakala wa Airtel wilayan Kilombero
Na inasemekana kua Airtel walikua wana mkopesha  vocha za milion tano saba mpaka kumi lakin ikifika mwisho wa siku anarejesha deni na kukopa tena 

Lakini kwa Mara ya Mwisho ali kopa vocha za >>>>>>>  milioni Tisini (90)

Ndipo baada ya Airtel kuona muda umepita.wa Deni lao kurejeshwa 
ikabidi Airtel wafunge safari kutoka makao makuu Dar es salaam Mpaka 
>>>>Morogoro>>>>>
ndan ya mkamba Uwanja wa Fisi 

lakin kwa habari za chanzo chetu cha habar ni kwamba walichokiongea 
Airtel na huyo Marehem haikujulikana

NDIPO MPAKA SIKU YA LEO IMETOKEA 
JAMAA KUKUTWA CHOON AMEJINYONGA HUKU IKISEMEKANA ALIANZA KUNYWA SUMU KABLA YA KUJINYONGA

MIPANGO YA MAZISHI YAMEENDA KUFANYIKIA IFAKARA KILOMBERO
MAREHEMU AMEACHA MJANE NA 
WATOTO.


©2015

Posterd by Kimchupa On The Beat
•®•
 kwa matangazo mbali mbali wasikiana nasi kupitia
+255657409743
abellykelvin4@gmail.com

WhatsApp namba +255657409743

Hakuna maoni: